Saturday, August 22, 2015

Simba yachukua kifaa cha Azam FC




Hii ni taarifa iliyotolewa na club ya Azam kuhusu mchezaji wao kujiunga na Club ya Simba.
“Mchezaji kinda na nyota wa Azam FC, Joseph Kimwaga ametua Simba SC kwa mkopo baada ya kupata matibabu Cape Town Afrika ya Kusini na kupona 100% jeraha la goti. Tunamtakia kila la kheri katika msimu wake mpya na Simba. Tunatarajia atarejea Msimu Ujao akiwa na uzoefu mkubwa kuja kuisaidia timu yake iliyomlea.”

No comments:

Post a Comment