Friday, August 28, 2015

Demu wa Balotelli sasa apata njemba mpya

BENEZA
Mario Balotelli alikua kwenye mapenzi na huyu model kiasi kwamba walifikia hadi level ya kuvishana pete wakikaribia kufunga ndoa. Lakini mapenzi yao yakaishia kusambaratika na kila mtu kuchukua hamsini zake.
Mrembo huyo ambae ni model kutoka Belgium hajaenda mbali sana na aina ya mpenzi wake wa zamani. Hivi model Fanny Neguesha anatoka na mchezaji wa West Ham Cheikhou Kouyate na mapenzi yao yanaoenekana kuwa mazito sana hivi sasa.
Model huyu mwenye miaka 25 hajachelewa kuweka wazi mapenzi makubwa kwa baby wake ambapo amekua aki-post picha nyingi sana kwenye instagram ndani ya jezi yaWest Ham. Pia ali-post dessert ambayo imeandikwa jina la msenegal huyo Cheikhou Kouyate na kuandika caption ya Best Friend for Life.
we
2BB30AE900000578-3212593-Belgian_model_Fanny_Neguesha_has_worn_a_West_Ham_United_away_shi-m-8_1440667538927
2BB3184F00000578-3212593-image-a-6_1440667419298
2BB30AF900000578-3212593-image-a-9_1440667658976

No comments:

Post a Comment