Saturday, August 15, 2015

PROF JAY, NATURE NA WAKALI WENGINE 'TELE' KUFANYA ONYESHO LA KUHAMASISHA WANANCHI KUPIGA KURA


Wasanii wa muziki wa kizazi kipya, kutoka kulia Profesa Jay, Kala Jeremiah na Juma Nature wakizungumza na Waandishi wa habari ili kuwaelezea kuhusu onyesho lao la bure wanalotarajia kufanya Jumapili ya Agosti 23, mwaka huu kwenye viwanja vya Zakhem, Mbagala, Dar es Salaam kuwahamasisha wananchi kujitokeza kupiga kura katika uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na madiwani Oktoba 25, mwaka huu.

No comments:

Post a Comment