Wednesday, September 30, 2015

Matokeo mechi zote za Ligi ya mabingwa Ulaya

UCL logo 
Usiku wa Septemba 30.9.2015 ilipigwa michezo nane ya UEFA Champions League (kombe la vilabu bingwa barani Ulaya) ilichezwa, mechi hizo zilishirikisha makundi manne tofauti kuanzia kundi E, F, G na H ambapo jumla ya timu 16 zilikuwa zikiumana kusaka pointi tatu ili kujiweka sawa kwa ajili ya kusonga mbele kwenye hatua inayofuta.
Matokeo ya michezo yote iliyopigwa usiku wa Jumanne kuamkia Jumatano yapo kama ifuatavyo;
UCL Results 30.9.2015

No comments:

Post a Comment