Thursday, October 1, 2015

Ligi ya mabingwa Ulaya katika picha

2-1 Smalling anagongewa kisigino na Juan Mata kama pasi ya kijanja na kufunga bao na kuwaacha mabeki wa Wolfsburg wakiduwaa! Smalling alifunga bao hilo kipindi cha pili dakika ya 53 na kuipa bao la pili Man United.David De Gea kama kawaida kufurahi Timu inapopata bao!Hoi!!1-11-1 man u penati ya mata dakika 341-11-1 Mata akishangilia na mpira baada ya kusawazishaYes! 1-1Ni balaa tupu! wote wanazo 31-0Wakijiuliza!!
VIKOSI:
Manchester United XI:
De Gea; Valencia, Smalling, Blind, Darmian; Schneiderlin, Schweinsteiger; Mata, Rooney, Memphis; Martial
United akiba: Romero, Jones, McNair, Pereira, Young, Fellaini, Wilson
Wolfsburg XI: Benaglio; Trasch, Naldo, Dante, Rodriguez; Guilavogui, Arnold; Caligiuri, Kruse, Draxler; Dost
Wolfsburg akiba: Bendtner, Schafer, Klose, Schurrle, Jung, Seguin
MSIMAMO KWENYE KUNDI LAO ULIVYO KWA SASAUEFA CHAMPIONS LEAGUE
RATIBA
Jumatano 30 Septemba 2015

KUNDI A
Malmö FF v Real Madrid
Shakhtar Donetsk v Paris St Germaine
KUNDI B
CSKA v PSV
Man United v VfL Wolfsburg
KUNDI C
1900 FC Astana v Galatasaray
Atletico Madrid v Benfica
KUNDI D
Borussia Mönchengladbach v Man City 

Juventus v Sevilla

No comments:

Post a Comment