Wednesday, October 14, 2015

Djibril Cisse amfungulia mashitaka polisi kisi mkanda wa ngono

CRLlvGpWwAAAc1b
Cisse aliyekua mchezaji wa timu ya taifa ya Ufaransa alikua na mahojiano na polisi yeye na marafiki zake watatu baada ya kuwa na kushukiwa na kesi ya kuwa na mkanda wa ngono wa mchezaji wa Olympique Lyonnais midfielder Mathieu Valbuena.
Inachosemekana ni kwamba Cisse na wenzake wamejaribu kumdai pesa mchezaji huyo ili wasiutoe mkanda huo wa ngono. Cisse alimatwa na polisi kwa ajili ya mahojiano japokua hakukua na uthibitisho kuhusu huo mkanda anao Cisse au mtu mwingine kati yao.
Bado uchunguzi upo chini ya polisi na wahusika wakuu ni Cisse na marafiki zake.

No comments:

Post a Comment