Thursday, July 23, 2015

Souleymane Sylla: Nilidhalilishwa!

 Souleymane Sylla
Mfaransa mweusi, mwenye asili ya Mauritania, ambaye alitukanwa kutokana na rangi yake ya mwili na mashabiki wa timu ya Chelsea kwenye kituo cha treni mjini Paris mwezi February, amesema kuwa anataka waliomtusi waletwe kutoka Uingereza ili washtakiwe kwenye mahakama ya Ufaransa.
Mkanda wa video ulioonyesha kundi la mashabiki wakimzuia Bwana Souleymane Sylla kupanda treni huku wakipiga mayowe wakisema "sisi ni wabaguzi wa rangi na hivyo ndivyo tunavyopenda''.

No comments:

Post a Comment